Wednesday, April 11, 2012

LIPI NI ZITO ZAIDI KATI YA HAYA!!?? KIFO CHA MSANII STEVIN KANUMBA NA JENERALI MWITA KYARO!!??

Watanzania tumeoneshwa kuguswa kwetu na kifo cha msanii nguli wa filamu Tanzania Stevin Kanumba, na kusahau kifo cha mtu muhimu sana kwa Taifa hili Jenerali mwita Kyaro, na kuact kama hana umuhimu kuliko huyu mtu!!! but kumbuka HUU NI MTAZAMO TU!!!

No comments:

Post a Comment