Wednesday, April 11, 2012

KESHO NDANI YA LIFE STYLE YA 90.5 BEST FM RADIO, TUTADISCUSS NA WEWE KUHUSU TALAKA KAMA NI SULUHU YA MIGOGORO KAYIKA NDOA!! KEEP IN TOUCH!

Nitakuwepo mwenyewe kulisongesha mwanzo mwisho ndani ya studio za 90.5, One & Only super duper presenter Mj wa ukwen'eee!!!

LIPI NI ZITO ZAIDI KATI YA HAYA!!?? KIFO CHA MSANII STEVIN KANUMBA NA JENERALI MWITA KYARO!!??

Watanzania tumeoneshwa kuguswa kwetu na kifo cha msanii nguli wa filamu Tanzania Stevin Kanumba, na kusahau kifo cha mtu muhimu sana kwa Taifa hili Jenerali mwita Kyaro, na kuact kama hana umuhimu kuliko huyu mtu!!! but kumbuka HUU NI MTAZAMO TU!!!

LONG TIME KITAMBO!! I'M COMMING BACK GUYS!


Wapendwa, nilikuwa kimya sana kutokana na majukumu, but narudi very soon!!!! kwa nguvu zote!! just keep in touch with me!!! Thanx!