Akon alipuuzia kumsainisha Drake kabla hajaenda YMCMB
Akon kwa hakika ana pua inayonusa
vipaji, muulize tu T-Pain na Lady GagaLakini hata hivyo pamoja na kuwa hivyo
kuna wakati huwa anashindwa pia kubaini madini na juzi kupitia kipindi "RapFix
Live" rapper Kardinal Offishall aliweka wazi kosa alilolifanya
Nilimwambia kuhusu Drake mapema. Nilimwambia, Akon huyu dogo ni staa kwenye TV ni mkali balaa,” alisema Kardinall
Kardinal Offishall alikiona kipaji na
uwezo wa Drake kabla ya YMCMB.
Kardinal, kama Drizzy, Anatokea
Toronto, lakini alifanikiwa kutoka kabla ya Drake hajafahamika mwaka 2009 na
mixtape yake So Far Gone
Nilikutana naye kabla hajaanza kufanya mixtape yake ya kwanza,” alisema. Kitu
ambacho nakumbuka kuhusu Drake ni kama alikuwa na njaa ya kutoka kwenye uigizaji
kwenda kwenye kurapBaada ya kutoka nilienda na kumwambia Akon, “Nilikuambia”. Lakini hayo ni miongoni mwa mambo ambayo yamefanya kazi kwa Drake na YMCMB. Ana kambi nzuri
Unahisi Drake angekuwa hapo alipo kama Akon angemchukua
No comments:
Post a Comment