Tuesday, October 18, 2011

MISS MTWARA 2011 AFARIKI DUNIA!

Mnyange aliyechukua taji la miss mtwara 2011 Rahma swai, amefariki dunia usiku wa jana kuamkia leo katika hospitali ya mkoa ligula kutokana na maradhi ya tumbo.

mrembo huyo ambae nyota ya ke ndio kwanza ilikuwa inaanza kung'aa, alifikishwa hospitalini hapo baada ya kulazwa katika zahanati ya sajora, baada ya kuona hali yake inazidi kuwa mbaya, alikimbizwa hospitali ya mkoa wa mtwara ligula ndipo ilipomfika umauti. 

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehem mahali anapostahili, jina la Bwana lihimidiwe, leo na hata milele.  Amina.

No comments:

Post a Comment