Tuesday, October 18, 2011

MURJI AMSHINDA ULEDI, MAHAKAMA YATUPILIA MBALI SHAURI LA ULEDI!

                  mbunge wa jimbo la Mtwara mjini akiteta na Mh. Nape Nauye alipotembelea Mtwara





Mahakama ya mkoa Mtwara, imetupilia mbali shauri la aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la mtwar a mjini kwa tiketi ya CUF Bw. Uledi Hassan Abdalah, la kukituhumu chama cha mapinduzi(CCM) kuwa kimechakachua kura za uchaguzi wa ubunge uliofanyika mwaka jana na kumpa ushindi mbunge wa jimbo hilo Bw. Asnen Murji.

Jaji wa mahakama hiyo mh. Selemani Saidi,  ametua uamuzi huo leo kwa madai kuwa upande wa mashtaka haukuwa na ushahidi wa kutosha hususan nyaraka.

No comments:

Post a Comment